Baada ya kuanza vibaya ligi kuu wingeleza timu ya EVERTON leo imeachana na kocha wao kutokana nakua msimu mbovu japo ilitumia pesa nyingi katika usajili ambapo EVERTON imetumia 150 kusajili majina makubwa kama Rooney, Kean na Joldan
EVERTON YAMFUKUZA KOCHA WAO RONALD KOEMAN
Reviewed by MZANSI ONE
on
October 23, 2017
Rating: 5
Hahaaaaaa nomaaa
ReplyDelete