KIGWANGARA KALIAGIZA JESHI LA POLISI NA TAKUKURU KUANZA KUMCHUNGUZA NYALANDU


Waziri wa maliasili na Utali Dr. Hamisi Kigwangara kaliagiza Jeshi la Polisi pamoja na TAKUKURU kuanza mala moja kumchunguza aliyekuwa Mbunge wa singida mashariki na aliye wahi kuwa Waziri wa Utali wa awamu ya nne ndugu Razaro Nyalandu kufuatia tuhuma zinazo mkabili kwa kipindi alicho kuwa akihudumu kama waziri wa wizara hiyo.

No comments